Friday, July 25, 2014

MBUNGE MGIMWA ATUMILIA MILIONI 42 KWA MIEZI MIWILI KUTEKELEZA AHADI



 Katibu  wa  mbunge wa  jimbo la Kalenga Bw Martine Simangwa  kushoto akikabidhi sehemu  bati kwa  viongozi wa kijiji  cha Makota kata ya Mseke

 

 katibu  wa  mbunge Mgimwa Bw  Simangwa akizungumza na  wananchi wa kijiji cha Malagosi 

 

 Sehemu ya saruji  iliyotolewa na  mbunge Mgimwa


 
 Mbunge Mgimwa wa pili  kulia   kulia akikabidhi msaada wa  Saruji kwa  viongozi wa kata ya Nzihi  

 
 Mbunge Mgimwa akiwa katika  usafiri wa Baiskeli 

MBUGE wa  jimbo la kalenga  Gopdfrey Mgimwa ametumia  zaidi ya  Tsh milioni 42   kutekeleza ahadi mbali mbali zilizoachwa na  marehemu babake Dr Wiliam Mgimwa.

Mbunge  Mgimwa amefananikiwa  kutekeleza ahadi hizo ndani ya kipindi  kifupi  cha miezi miwili  toka alipoapishwa  kuwa  mbunge wa  jimbo hilo









 

No comments:

Post a Comment

Popular Posts