Wednesday, March 11, 2015

AJALI BASI LA MAJINJA KUTOKA MBEYA KWENDA DARE ES SALAAM LAPATA AJALI CHANGALAWE MAFINGA




Ajali mbaya sana imetokea changalawe Mafinga express, basi la Majinja lilikuwa linatoka Mbeya kulelekea Dar es salaam limeangukiwa na kontena
Idadi kubwa ya abiria wa basi hilo wanakadiriwa kufariki dunia papo hapo baada ya basi hilo la Majinja Express kugongana na lori na kuangukiwa na kontena








No comments:

Post a Comment

Popular Posts