Tuesday, May 13, 2014

MIKATABA YA UKARABATI WA BARABARA ZA ITONI- LUDEWA-NKOMANG’OMBE,MCHUCHUMA ACCESS NA MKIU-LIGANGA KWENDA MAENEO YA MIGODI YA MCHUCHUMA.


Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na wawekezaji toka china inakusudia kuanza uchimbaji wa Madini ya Chuma na Makaa ya mawe yaliyopo Mkoa wa Njombe katika vijiji vya Liganga na Mchuchuma mapema mwaka 2014.
 
Ili kufaninikisha  uchimbaji imeonekana kuna umuhimu wa kukarabati barabara na madaraja ili kufanikisha usafirishaji wa mitambo mizito inayofikia tan 150,urefu wa mita 15 na upana wa mita 6.3 kwa baadhi ya mitambo hadi maeneo ya migodi.
 PICHA KUTIA SAINI UTENGENEZAJI WA ITONI -LUDEWA.




























No comments:

Post a Comment

Popular Posts