Monday, September 8, 2014

MBIO ZA MWENGE NYUMBANI KWA MWALIMU NYERERE WILAYA YA BUTIAMA






Baadhi ya askari wa jeshi la polisi mkoa wa Mara wakiwa nje ya lango la Nyumba ya Baba wa taifa hayati Mwl Julius Nyerere wakingojea Mwenge wa uhuru ukiwa umechukuliwa kwenda kuwasha Mwenge wa Mwingo hivi karibuni.  

 

 Kiongozi w mbio za Mwenge kitaifa mwaka 2012 kapt Honest Ernest Mwanossa akitamka manane Sisi tumekwisha uwasha Mwenge na kuuweka mlima Kilimanjaro,baada ya kuwasha Mwenge uliopo Mwitongo Nyumbani kwa Baba wa taifa hayati Mwl Julius K Nyerere.






































 

No comments:

Post a Comment

Popular Posts