Friday, June 13, 2014

LOWASSA AKUTANA NA UJUMBE WA MBUNGE FILIKUNJOMBE DODOMA LEO ,ASEMA NI KWELI FILIKUNJOMBE JEMBE




 Waziri mkuu mstaafu Edward Lowasa kushoto akisalimiana na viongozi wa zaidi 91 wa jimbo la Ludewa mkoani Njombe ambao  wamefanya  ziara  Bungeni Dodoma leo ,jumla ya  wenyeviti 25 ,matatibu kata 25 makatibu  wenyezi 25 na viongozi  wengine wamefanya  ziara  bungeni  leo na makao makuu ya  chama kwa ufadhili  wa mbunge Filikunjombe  kesho  ni  ziara ya Dar katika mafunzo,katikati anayeshuhudia ni mbunge Filikunjombe


No comments:

Post a Comment

Popular Posts