Friday, June 13, 2014

ZIARA YA MWENYEVITI NA MAKATIBU KATA ZOTE 25 ZAIDI YA 91 MJINI DODOMA LEO KWA MWALIKO WA MBUNGE FILIKUNJOMBE NI ZIARA YA SIKU NNE DODOMA NA DAR ,MANGULA APONGEZA





 Baadhi ya makatibu  kati wa kata 25  za  wilaya ya  Ludewa  wakiwa katika makao makuu  wa CCM Dodoma  leo kwa  ziara ya  mbunge  Deo Filikunjombe kwa ajili ya kujifunza jumla ya  makatibu kata ya wenyeviti 92 wapo ziarani Dodoma na Dar kwa lengo ya kujifunza na  semina



 
 Baadhi ya  makatibu  wenezi  wa CCM kata 25  za jimbo la Ludewa

 

 Baadhi ya  wenyeviti wa kata 25  za jimbo la Ludewa  wakiwa makao makuu wa CCM Dodoma walipokutana na makamu mwenyekiti wa CCM bara Philip Mangula  leo





 

 Makamu  mwenyekiti bara Philip Mangula akiwa na mbunge  Deo Filikunjombe leo wakitoka makao makuu  ya  CCM Dodoma baada ya  kumaliza  ziara yao makao makuu ya CCM leo


















No comments:

Post a Comment

Popular Posts