Wednesday, June 4, 2014

MAZISHI YA BABAKE MKWE WA LUKUVI AYAFANYIKA LEO IRINGA





 Waziri  wa nchi ofisi ya  waziri mkuu sera na uratibu wa bunge Wiliam Lukuvi kushoto akiwa ameshika chombo  cha maji ya ibada ya mazishi akimsaidia paroko wa kanisa la RC kihesa  leo  wakati wa ibada ya mazishi ya  babake mkwe wa Lukuvi 





katibu  wa CCM mkoa  wa Iringa Hassan Mtenga akitoa heshima zake katika jeneza la mwili wa babake mkwe wa Lukuvi anayefuata nyuma ni mwanahabari Denis Mlowe





Wadau  mbali  mbali  wakiaga mwili wa babake mkwe  wa Lukuvi leo




wananchi mjini Iringa  wakitoa  heshima  zao











No comments:

Post a Comment

Popular Posts